Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Juni, 2020

KITUNGUU SAUM UTIBU MARADHI YOTE

YAJUE VEMA MAAJABU YA KITUNGU SAUMU NA FAIDA ZAKE KATIKA KUPAMBANA NA MARADHI MWILINI (TUMIENI SANA VITUNGUU VYA ASILI na siyo vya kisasa) MAGONJWA YANAYOTIBIKA KUPITIA KITUNGUU SAUMU 1. Huyeyusha mafuta mwilini (kolestro) 2. Husafisha njia ya mkojo na kutibu U.T.I 3. Hutibu amoeba, minyoo na Bakteria wengine 4. Huzuia kuhara damu (Dysentery) 5. Huondoa Gesi tumboni 6. Hutibu msokoto wa tumbo 7. Hutibu Typhoid 8. Huondoa mabaka mabaka kwenye ngozi 9. Hutibu mafua na malaria 10. Hutibu kifua kikuu (ukitumia kitunguu swaumu kesho yake unaweza kutokwa na makohozi mengi tu ambayo ni ishara kwamba kweli kinatibu kifua kikuu (TB) 11. Hutibu kipindupindu 12. Hutibu upele 13. Huvunjavunja mawe katika figo 14. Hutibu mba kichwani 15 Huupa nguvu ubongo. Kazi nzuri niliyopenda zaidi katika kitunguu swaumu. 16. Huzuia meno kung’ooka na kutuliza maumivu 17. Huongeza SANA nguvu za kiume pia hutibu uanithi (kushindwa kusimama k...

TIBA YA ASILI INAYOWEZA KUTIBU KANSA YA INI NA KUPONA KABISA

TIBA YA ASILI INAYOWEZA KUTIBU KANSA YA INI NA KUPONA KABISA Saratani ya ini ni kansa ambayo huanza katika ini, kinyume na kansa ambayo huanza katika kiungo kingine na kuenea kwenye ini, inayojulikana kama metastasis ya ini. Ili kuelewa kikamilifu kansa ya ini ni muhimu kuwa na ufahamu wa jinsi ya ini linavyofanya kazi. Ini ni mojawapo wa viungo vya mwili vikubwa zaidi. Liko chini ya pafu la kulia na chini ya mbavu. Ini limegawanywa katika sehemu mbili: ya kulia na ya kushoto. Protini huchukuliwa na ini kutoka kwa mshipa wa portal, ambao hubeba damu iliyo na virutubishi tele kutoka kwenye matumbo hadi kwenye ini. Mshipa wa hepatic husambaza damu kwenye ini ambayo ni tajiri kwa oksijeni. Aina kadhaa za uvimbe zinaweza kuendelea katika ini kwa sababu INI limetengenezwa kwa aina mbalimbali za seli. Uvimbe ambao husababisha Kansa huitwa Malignant na uvimbe ambao hauna seli za kansa huitwa Benign. Kansa ya ini hivyo ina uwepo wa uvimbe wa malignant hepatic - uvimbe juu au ka...

WATU WA KALE WALIAMINI TANGAWIZI NI TIBA ZAIDI MAANA ILITIUBU MARADHI 28

WATU WAKALE WALITUMIA ZAO LA TANGAWIZI KAMA TIBA KWA KUTIBU TAKRIBANI MAGONJWA 28 NA 100% WALIPONA Tangawizi (kwa Kilatini zingiberis rhizoma; kwa Kiingereza: ginger) ni mzizi wa mtangawizi. Umbo la tangawizi ni kama lile la mzizi wa manjano na yote miwili hutumika kama viungo katika chakula. TANGAWIZI NI TIBA KUBWA IKITUMIWA VEMA Tangawizi huwa na utomvu wenye mafuta na kampaundi zinazofanya ukali wake. Utafiti wa kisasa umegundua tangawizi inaweza kusaidia katika matatizo ya utumbo na kuzuia kutapika Tangawizi inatazamiwa kupunguza maumivu ya viungo vilivyoathiriwa na rumatizimu na homa ya baridi yabisi (arthritis) KWENYE ELIMU YA KALE WALITUMIA TANGAWIZI KUJENGA AFYA Katika elimu ya tiba ya kale tangawizi ilitazamiwa kuwa na tabia nyingi za kujenga afya, lakini matokeo mengi yanayodaiwa mwilini hayajathibitishwa kisayansi: Imedaiwa kuwa na uwezo ufuatao wa kitiba: 1. kuondoa sumu mwilini Sumu ni dutu yoyote inayoweza kuharibu kiasi kidogo shughuli za seli au inayo...

KITUNGUU MAJI KINA UWEZO WA KUTIBU MARADHI 40 SUGU

YAJUE MAAJABU YA KITUNGUU MAJI NA TIBA ZAKE KWA KUTIBU MARADHI 40 KWENYE MWILI WA BINADAMU TENA YALE SUGU KABISA JE WAJUA HILI KUWA KITUNGUU MAJI KINA TIBU MARADHI 40? Kitunguu maji ni aina ya tunguu kama vitunguu vingine, kwa mfano kitunguu saumu. Kitunguu maji kitiba nacho kina uwezo wa kutibu maradhi arobaini (40), miongoni mwa maradhi hayo ni joto la mwili kwa ujumla na mbegu za uzazi zilizokuwa za moto. Greentree. 1.Kitunguu (Allium cepa) ni aina ya tunguu la kulika ambalo hupandwa kila mahali pa dunia. Spishi A katika biolojia ni jina la kutaja kundi la wanyama au mimea wa aina moja. Spishi ni kitengo muhimu katika uainishaji wa kisayansi. Kwa kuhesabiwa katika spishi ileile haitoshi kama viumbe vinafanana sana, ni lazima waweze kuzaliana na kuwa na watoto ambao wanaweza kuzaa tena. Kwa mfano, farasi na punda ni spishi mbili tofauti zinazoweza kuzaliana lakini watoto wao, wanaoitwa baghala, hawazai tena. Mbwa wote ni spishi moja, hata kama wanaonekana na maumbil...

ITAMBUE [TB] KIFUA KIKUU

ITAMBUE TB    "'KIFUA KIKUU" Kifua kikuu husambazwa kutoka kwa Mtu mmoja hadi mwingine kwa kupitia hewa wakati anapokohoa, kupiga chafya, au MATE yake yakiwa hewani Maambukizi mengi hayana dalili wala hayaleti madhara. Lakini moja kati ya maambukizo kumi yasiyoleta madhara hatimaye huendelea na kuwa ugonjwa kamili. Kama kifua kikuu kisipotibiwa, kinaua zaidi ya 50% ya watu walioambukizwa. Dalili za kawaida za maambukizi ya kifua kikuu kinacholeta madhara ni kikohozi sugu na kukohoa Damu , kukohoa , homa, kutokwa na jasho usiku, na kukonds. Maambukizi ya viungo vingine husababisha dalili mbalimbali. Njia ya kitaalamu ya utambuzi wa kifua kikuu kwa kutumia  Eksirei ya kuchunguza ugonjwa hujulikana kama eksirei ya kifua na pia wanatumia hadubini na kufanya uchunguzi wa vimelea maradhi vya majmaji ya mwilini. Uchunguzi wa kifua kikuu kisicholeta madhara hutumia kipimo kiitwachokipimo cha ngozi (TST) na vipimo vya damu. TIBA si rahisi na inabidi kupewa dawa nyingi z...