YAJUE MAAJABU YA KITUNGUU MAJI NA TIBA ZAKE KWA KUTIBU MARADHI 40 KWENYE MWILI WA BINADAMU TENA YALE SUGU KABISA
JE WAJUA HILI KUWA KITUNGUU MAJI KINA TIBU MARADHI 40?
Kitunguu maji ni aina ya tunguu kama vitunguu vingine, kwa mfano kitunguu saumu.
Kitunguu maji kitiba nacho kina uwezo wa kutibu maradhi arobaini (40),
miongoni mwa maradhi hayo ni joto la mwili kwa ujumla na mbegu za uzazi
zilizokuwa za moto.
Greentree.
1.Kitunguu (Allium cepa) ni aina ya tunguu la kulika ambalo hupandwa kila mahali pa dunia. Spishi A
katika biolojia ni jina la kutaja kundi la wanyama au mimea wa aina moja. Spishi ni kitengo muhimu katika uainishaji wa kisayansi.
Kwa kuhesabiwa katika spishi ileile haitoshi kama viumbe vinafanana sana, ni lazima waweze kuzaliana na kuwa na watoto ambao wanaweza kuzaa tena.
Kwa mfano, farasi na punda ni spishi mbili tofauti zinazoweza kuzaliana lakini watoto wao, wanaoitwa baghala, hawazai tena. Mbwa wote ni spishi moja, hata kama wanaonekana na maumbile tofauti kutokana na historia ya ufugaji wa kuteua sifa kadhaa tu kwa kuzaana. Lakini hata mbwa mkubwa kabisa anaweza kuzaliana na mbwa mdogo na watoto wao wanazaa tena.
Spishi za karibu hupangwa pamoja katika jenasi.
Mfano: mbwa, mbweha, mbweha wa Ethiopia na koyote wa Marekani wote ni spishi mbalimbali za jenasi inayoitwa "Canis".
2. cepa haitokei porini. Spishi za pori yenye nasaba ya karibu sana ni A. vavilovii na A. asarense
KITUNGUU/TUNGUU
Tunguu ni sehemu ya shina la mimea fulani ilio na majani manene kwa
umbo wa gamba yanayohifadhi chakula. Mifano ni kitunguu, kitunguu saumu
na matunguu ya mimea mingine ya ngeli Monocots. Tunguu ni tofauti na
kiazi ambacho ni sehemu ya mzizi.
MAGONJWA YANAYO TIBIWA NA KITUNGUU MAJI
Kitunguu maji kinatiba ya matumizi mbalimbali. Kitunguu maji kinatibu maradhi arobaini (40). Maradhi hayo kwa uchache ni kama yafuatayo
1. shinikizo la damu
,2. baridi yabisi,
3. kuondoa sumu mwilini,
4. kisonono,
5. minyoo,
6. bawasiri,
7. maradhi ya mgongo,
8.kichocho,
9. malaria,
10.gesi kujaa
11.kulinda kinga mwili
12.kuimarisha cells za mwili
13.kurutubisha ngozi
14.kuuwa minyoo sugu
15. homa za matumbo na kadhalika.
Kwa mfano, kwa maradhi ya tumbo unatumia Juisi ya kitunguu maji kwa kunywaa au kutafuna kwa muda wa siku 11-15; kwa uwezo wa Mungu unaweza kuondokana na tatizo hilo
MBOCHI HERBAL LIFE
Http://mbochiherbal.blogspot.com
mbochiherballife646@gmail.com
mob; +255757349219
WE TREAT BUT GOD CURE

Maoni