Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Mei, 2020

TATIZO LA UKE KUTOA ARUFU MBAYA

TATIZO LA UKE KUTOA ARUFU MBAYA Wapendwa leo najibu swali la mpendwa @.... miongoni mwa wanao soma makala za MBOCHI HERBAL LIFE-24 AKIULIZA JE? NI   kwa nini uke unatoa arufu mbaya wakati wa kushiriki Tendo la kujamiana Na hii utokea pale tu unapo furaiya uumbaji ndipo panatoa arufu chafu Leo ningependa tuzungumzie tatizo la uke kutoa harufu mbaya, kwani ni tatizo ambalo linawaathiri dada zetu sana, na huwafanya wasiwe na uhuru wanapokuwa faragha na wapenzi wao, na kuwafanya wasiwe na raha, na kupoteza kujiamini. Tatizo la kutoa harufu ukeni husababishwa na sababu kadhaa Kama ifuatavyo. 1.Bacterial vaginosis Kwa kawaida, uke huwa na bakteria ambao huitwa lactobacilli, bakteria hawa ni wazuri na hawamletei shida yeyote mwanamke, bakteria hawa huulinda uke usishambuliwe na bakteria wabaya ambao ndio husababisha magonjwa. Kinachowawezesha bakteria hawa waweze kukaa kwenye uke ni hali ya utindikali wa uke(vaginal acidity); hali hii ya utindikali wa uke inapobadilika na kupu...

TIBA YA MDOMO KUTOA ARUFU MBAYA

TIBA YA MDOMO KUTOA ARUFU MBAYA Kuwa na harufu mbaya mdomoni ni kitendo kinachoweza kuathiri maisha ya mtu kimahusiano si kwa mpenzi tu bali marafiki na jamii kwa ujumla. Pia kuwa na harufu mbaya mdomoni uondoa haiba ya kupendwa kwani hata unapoongea wengi watakwepa kuongea moja kwa moja na wewe kwa sababu ya harufu mbaya inayotoka mdomoni mwako. Chakula unachokula kina athiri hewa inayotoka mdomoni au sehemu nyingine za mwili wako. Baadhi ya vyakula vina matokeo mabaya sana kwa hurufu unayotoa mdomoni. Harufu mbaya mdomoni si ugonjwa wa kuambukiza haina haja kuogopa ukikutana na mtu mwenye harufu mbaya mdomoni kwamba atakuambukiza. Pia tatizo kubwa ni kwamba watu wenye harufu mbaya mdomoni hawajijui kwamba wana harufu mbaya. Asilimia 85 – 90% ya tatizo la harufu mbaya mdomoni asili yake ni kinywa chenyewe. Pia kiwango cha harufu hutofautiana kutokana na muda (mchana, usiku na asubuhi). Harufu nyingi mbaya mdomoni hutokana na vyakula vyenye asilia ya protein. Kuna zaidi ...

FANGASI YA MDOMONI na TIBA YAKE

M ara nyingi vyakula tunavyokula huwa na faida mwilini lakini vingine huwa na madhara fulani ambayo sisi huwa hatuyajui hasa kama unashambuliwa na ugonjwa fulani. Leo nimeona niliongelee hili kwenye safu hii maalum ya kukujuza jinsi ulavyo ndiyo matokeo ya baadaye. Wapo wengi wanaosumbuliwa na suala la fangasi wa mdomoni lakini hawajui tiba wala sababu ya wao kupata ugonjwa huo. Mara nyingi ugonjwa huu huwapata watoto wanaonyonya ingawa wao ni kawaida na mama huelezwa hospitali jinsi ya kufanya. Ugonjwa huu ukitokea kwa wakubwa huwa si jambo la kawaida kwani husababisha mtu kujihisi vibaya kwa sababu wakati mwingine unaweza kujikuta ukinuka mdomo bila kujua tatizo na utando mweupe unaweza kukutoka, hii ni dalili kwamba umepata maambukizi. Ni rahisi pia kuunguzwa na chakula hata kama hakikustahili kukuunguza kwa kiwango kikubwa, kwani ngozi ya ulimi inakuwa imeshashambuliwa na bakteria wa fangasi. Vyakula vinavyosababisha fangasi: Vyakula hivyo ni karanga, mayai, maziwa ya...

HII NDIYO TIBA YA PID [PELVIC INFLAMMATORY DISEASE]

UGONGWA WA PID PELVIC INFLAMMATORY DISEASE UNATOKANA NA NINI SWALI PID NI NINI? Maambukizi kwenye njia ya uzazi au kwa kifupi PID, ni mambukizi ya bacteria yanayoathiri sana wanawake kwenye mfumo wa uzazi. Na kuweza kuleta athari katika sehemu zozote kwenye njia ya uzazi.moja ya athari za PID  ambayo wanawake hupata ni kutoweza kushika mimba yaani ugumba. Tafiti zinasema kati ya wanawake nane walaiowahi kuugua PID basi mmoja wao atakutana na shida kupata mimba kwa siku za hapo baadae huku wale wanaofanikiwa kupata ujauzito basi hupata matatizo pia ikiwemo mimba kuharibika au kujifungua kabla ya wakati. Nini kinasababisha PID?? Wataalamu wa afya wanaamini kwamba magonjwa ya zinaa ambayo hayakutibiwa ipasavyo hasahasa gonorrhea na chlamydia yanaongoza kwa kusababisha PID, japo kuna baadhi ya wanawake wanaugua PID kuna kwenye maambukizi ya kawaida ya bacteria(bacteria vagonosis) Nini Maana Ya Pelvic Inflammatory Disease(PID) Maana halisi ya PID ni hali ya kututumka au ku...