Menu MAGONJWA YA MOYO YA KUZALIWA (CONGENITAL HEART DISEASES) Uko hapa: Mwanzo / WANAWAKE & WATOTO / Magonjwa / Afya & Matibabu Magonjwa ya Moyo ya Kuzaliwa (Congenital Heart Diseases) DR.Herbalist Thobias Beda AFYA & MATIBABU MAONI! Muundo ya moyo na mishipa ya damu ni mojawapo ya vinavyooathirika katika magonjwa ya moyo ya kuzaliwa nayo. Vijusi(fetuses) kati ya 8 hadi 10 huathirika kwa kila 1000. Magonjwa ya moyo ya kuzaliwa nayo huweza kutoa dalili mara tu baada ya kuzaliwa, utotoni na wakati mwingine husubiri mpaka ukubwani. Magonjwa ya Moyo ya Kuzaliwa husababishwa na nini? Kwa wengi sababu huwa haijulikani. Ila huwa kuna vitu hatarishi ambavyo hupelekea kuongezeka kwa uwezekano wa kupata magonjwa ya moyo ya kuzaliwa nayo, vitu hivyo hatarishi ni: Matatizo ya kijenetekia utotoni kama Downs syndrome, Turner’s syndrome, Marfan syndrome, Matumizi ya dawa ya kutibu chunusi (acne) aina ...
MBOCHI HERBAL It's a well recognized, Centre for treatment of all- Infectious disease Like Complicated TB,DIABETES, STD-AIDS,P.I.D,CANCER,INFERTILITY,hepatitis AND KIND OF FEVERS