Unene Uliopitiliza (Obesity) Tatizo la Unene Uliopitiliza (Obesity) Tatizo hili la unene uliopitiliza kuliko inavyohitajika kiafya huwa linaletwa na kuongezeka kwa kiwango cha mafuta mwilini. Njia rahisi na inayokubalika ya kuweza kugundua kama mtu ni mnene kupita kiasi (obese) inafahamika kama kipimo cha Body Mass Index (BMI). Vipimo hivi vya BMI ndio vinaweza kukujulisha kama unene ulionao unastahili kulingana na umri, urefu na uzito wako. Vipimo hivi ni kama ifuatavyo: Jinsi ya kupima BMI yako Kanuni ya BMI hutumia uzito wa mtu pamoja na urefu wake. Uzito wa mtu hupimwa katika kilograms (kg) na urefu wake katika mita (m) au sentimita (cm). Ikumbukwe pia kuwa mita moja ni sawa na sentimita 100 na mita² = mita x mita. Category BMI range – kg/m2 Emaciation less than 14.9 Underweight from 15 to 18.4 Normal from 18.5 to 22.9 Overweight from 23 to 27.5 Obese from 27.6 to 40 Morbidly Obese greater than 40 BMI (kg/m2) = Uzito katika kilograms/Urefu katika meters². Maana yake ni kwamba...
MBOCHI HERBAL It's a well recognized, Centre for treatment of all- Infectious disease Like Complicated TB,DIABETES, STD-AIDS,P.I.D,CANCER,INFERTILITY,hepatitis AND KIND OF FEVERS