Ruka hadi kwenye maudhui makuu

MAMBO MAKUU 5 UNAYOTAKIWA KUJUA KUHUSIANA NA HEDHI YAKO







 Je unafahamu inakadiriwa kuwa, mwanamke hupata hedhi wastani wa mara 400 katika maisha yake? Pia, neno linalotumika sana kuwakilisha hedhi ni "period", neno hili lilianza kutumika kwa mara ya kwanza kwenye miaka ya 1822 likimaanisha tukio linalotokea ndani ya muda fulani au linalojirudia baada ya muda fulani. Leo hii tuangalie mambo mengine 5 muhimu kuyajua kuhusiana na hedhi.

1. Kwa wastani, mwanamke huanza kupata hedhi yake ya kwanza kabisa akiwa na umri wa miaka 12.

2. Mzunguko wa siku za hedhi huwa kati ya siku 21 hadi 35. Ingawa wengi huwa na mzunguko wa siku 28, lakini kuzidi wiki moja au kuwahi kwa wiki moja ni kitu cha kawaida.

3. Mwanamke huzaliwa na mayai milioni 1 hadi 2. Mayai haya, mengi hufa jinsi mwanamke anavyoendelea kuishi na ni mayai 400 tu ndiyo hukadiriwa kufika hatua ya ukomavu tayari kwa uchavushwaji.

4. Msichana anaweza kupata ujauzito kabla ya kuanza hedhi yake ya kwanza. Hii ni kwa sababu, yai huanza kukomaa kabla ya kuona hedhi yake ya kwanza, hivyo kama atashiriki tendo bila kinga, kuna uwezekano wa kupata ujauzito.

5. Wanawake wengi hufikia ukomo wa kutopata hedhi (menopause) wakiwa na umri wa miaka 48 hadi 55.MAMBO MAKUU




MBOCHI HERBAL LIFE, www.mbochiherbalife.co.tz ,mbochiherballife646@gmail.com Mob +255757349219

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

VIAGRA YA ASILI

  Pata Kijiko zaidi katika malisho yako. MTINDO WA MAISHA Vyakula 10 ambavyo vinaweza kutenda kama Viagra asili Ikiwa unakuwa na shida chumbani, au unatafuta tu viungo, vyakula hivi hufanya kazi kama aphrodisiac na kuchukua nafasi ya hitaji la Viagra - ambayo, kwa matumaini, hautalazimika kutumia kwa muda .  Ongeza hizi wakati wa chakula cha jioni, na itahakikisha kuwa vitu vinakaa vya kupendeza ukimaliza dessert na bado unatamani kitu kitamu .. Hatukulaumu pia ikiwa unataka kula vyakula hivi kwa kuzimu tu, kwa sababu mara nyingi, chakula ni   bora zaidi kuliko ngono  . 1. Celery Picha na Herbalist Thobias Beda Celery inaweza kuonja kama maji na kuwa nyembamba sana, lakini ina arginine, ambayo  hupanua mishipa ya damu  kwa njia sawa na Viagra.  Pia ina steroids mbili ambazo husaidia kuboresha harufu ya mwili wetu, na kutufanya tuvutie wengine.  Chop mabua machache na uyatie kwenye  hummus hii  . 2. Tikiti maji Picha na Herbalist Tho...

YOU HAVE A BRIGHT FUTURE. IF YOU WILL GIVE YOUR EARTHLY LIFE TO JESUS

https://mbochiherbal.blogspot.com But if you contract HIV you need to think through what you need to change in your life and then set to work to rebuild your immune system

WATU WA KALE WALIAMINI TANGAWIZI NI TIBA ZAIDI MAANA ILITIUBU MARADHI 28

WATU WAKALE WALITUMIA ZAO LA TANGAWIZI KAMA TIBA KWA KUTIBU TAKRIBANI MAGONJWA 28 NA 100% WALIPONA Tangawizi (kwa Kilatini zingiberis rhizoma; kwa Kiingereza: ginger) ni mzizi wa mtangawizi. Umbo la tangawizi ni kama lile la mzizi wa manjano na yote miwili hutumika kama viungo katika chakula. TANGAWIZI NI TIBA KUBWA IKITUMIWA VEMA Tangawizi huwa na utomvu wenye mafuta na kampaundi zinazofanya ukali wake. Utafiti wa kisasa umegundua tangawizi inaweza kusaidia katika matatizo ya utumbo na kuzuia kutapika Tangawizi inatazamiwa kupunguza maumivu ya viungo vilivyoathiriwa na rumatizimu na homa ya baridi yabisi (arthritis) KWENYE ELIMU YA KALE WALITUMIA TANGAWIZI KUJENGA AFYA Katika elimu ya tiba ya kale tangawizi ilitazamiwa kuwa na tabia nyingi za kujenga afya, lakini matokeo mengi yanayodaiwa mwilini hayajathibitishwa kisayansi: Imedaiwa kuwa na uwezo ufuatao wa kitiba: 1. kuondoa sumu mwilini Sumu ni dutu yoyote inayoweza kuharibu kiasi kidogo shughuli za seli au inayo...