Ruka hadi kwenye maudhui makuu

MOYO


Moyo ni ogani ya mwili inayoendesha mzunguko wa damu mwilini. Kazi yake ni kama pampu ya damu. Hali halisi ni misuli inayosukuma damu kwenye mishipa kwa njia ya kujikaza.
Mioyo ya mamalia pamoja na binadamu huwa na pande mbili. Upande wa kulia unasukuma damu kwenda mapafu inapopokea oksijeni; upande wa kushoto unazungusha damu katika sehemu nyingine za mwili pale ambako oksijeni inahitajika.
Moyo ni ogani ya lazima kwa uhai.






Moyo na utamaduni

Katika masimulizi ya mataifa mengi moyo unajadiliwa kama mahali pa roho, mawazo au hisia, hasa pendo na chuki.
Sababu yake ni kwamba pigo la moyo ni dalili ya wazi ya uhai na bila pigo la moyo mtu amekufa, kwa hiyo moyo ulitazamwa kama mahali pa uhai wenyewe pamoja na nafsi ya mtu.
Siku hizi wataalamu wanaona moyo ni pampu tu, ni zaidi ubongo mahali pa nafsi ya mtu.






Moyo unazungusha damu mwilini.
  • Damu isiyo na oksijeni inafika moyoni (kulia) kutoka viungo. (na. 1+13)
  • Moyo unapeleka damu hii kwenye mapafu inapoongezwa oksijeni. (na. 2)
  • Damu inarudi moyoni (kushoto) ikiwa na oksijeni (na. 3)
  • Kutoka moyoni (kushoto) unasukumwa kwenda mwilini tena na kubeba oksijeni (na. 10)
Mbali na kubeba oksijeni damu inapokea pia virutubishi kwenye utumbo na kuvipeleka seli vinapotakiwa, halafu inapokea pia homoni kutoka tezi mbalimbali na kuzisafirisha. Moyo inahakikisha mwendo huu wa damu unaendelea.

Muundo wa moyo wa binadamu

Moyo wetu huwa na pande mbili na kila upande kuna vyumba viwili. Kwa jumla moyo huwa na vyumba vinne. Amfibia huwa na vyumba vitatu na samaki na vyumba viwili tu.
Damu kutoka mwilini isiyo na oksijeni tena inafika kwenye atiria ya kulia. Atiria inasogeza damu kwenda chumba cha pili au ventrikali ya kulia. Ventrikali inasukuma damu kwenda mapafu inapoongezwa oksijeni. Kutoka mapafu damu yenye oksijeni inarudi moyoni ikiingia atiria ya kushoto na kuendelea ventrikali ya kushoto. Ventrikali hii inasukuma damu mwilini.
Kila sehemu ya kuingia au kutoka kwa damu katika chumba kimoja kuwa na mlango wake na milango hii huitwa "vali" ya moyo. Vali huongezeka jina kufuatana na upande wao ama kulia na kushoto au ya mapafu na menginevyo.

Mishipa ya damu moyoni

Mishipa ya damu moyoni huwa na majina maalumu. Kwa jumla kuna mishipa mikubwa kwa sababu damu yote inapaswa kupita humo. Kwa hiyo mishipa karibu na moyo ni kama barabara kuu za damu mwilini.
Mishipa yote inayopeleka damu kwenda moyoni huitwa "vena". Mishipa yote inayotoa damu kutoka kwa moyo kwenda penginepo huitwa "arteri".
Ateri kuu inayopeleka damu mwilini ni aorta.
Kuna pia ateri za nje zinazozunguka moyo mwenyewe; kama musuli inahitaji oksijeni kwa kazi yake. Ateri za nje zinafikisha damu yenye oksijeni moja kwa moja kwa seli za moyo yenyewe.

Mapigo ya moyo

Pigo la moyo ni hatua ya kujikaza kwa misuli ya moyo. Misuli ikijikaza inapunguza nafasi ndani yake na hivyo kusukuma damu kwenda ama chumba kingine kutoka ateri au kwenda mishipa ya damu yaani ateri.
Computer generated animation of a beating human heart
moyo wa mwanadamu ukipiga
Baadaye misuli inalegea mahali ilipojikaza. Vali inafunguka na damu kutoka vena inaweza kuingia na kujaza chumba cha moyo. Shindikizo ya damu kutoka vena inapanusha chumba tena mpaka kujaa. Sasa vali ya kuingia inafungwa, chumba kinajikaza tena na vali ya kutoka inafunguliwa. 






MBOCHI HERBAL LIFE 24
www.mbochiherbalife.co.tz
mbochiherballife646@gmail.com




























Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

VIAGRA YA ASILI

  Pata Kijiko zaidi katika malisho yako. MTINDO WA MAISHA Vyakula 10 ambavyo vinaweza kutenda kama Viagra asili Ikiwa unakuwa na shida chumbani, au unatafuta tu viungo, vyakula hivi hufanya kazi kama aphrodisiac na kuchukua nafasi ya hitaji la Viagra - ambayo, kwa matumaini, hautalazimika kutumia kwa muda .  Ongeza hizi wakati wa chakula cha jioni, na itahakikisha kuwa vitu vinakaa vya kupendeza ukimaliza dessert na bado unatamani kitu kitamu .. Hatukulaumu pia ikiwa unataka kula vyakula hivi kwa kuzimu tu, kwa sababu mara nyingi, chakula ni   bora zaidi kuliko ngono  . 1. Celery Picha na Herbalist Thobias Beda Celery inaweza kuonja kama maji na kuwa nyembamba sana, lakini ina arginine, ambayo  hupanua mishipa ya damu  kwa njia sawa na Viagra.  Pia ina steroids mbili ambazo husaidia kuboresha harufu ya mwili wetu, na kutufanya tuvutie wengine.  Chop mabua machache na uyatie kwenye  hummus hii  . 2. Tikiti maji Picha na Herbalist Tho...

YOU HAVE A BRIGHT FUTURE. IF YOU WILL GIVE YOUR EARTHLY LIFE TO JESUS

https://mbochiherbal.blogspot.com But if you contract HIV you need to think through what you need to change in your life and then set to work to rebuild your immune system

WATU WA KALE WALIAMINI TANGAWIZI NI TIBA ZAIDI MAANA ILITIUBU MARADHI 28

WATU WAKALE WALITUMIA ZAO LA TANGAWIZI KAMA TIBA KWA KUTIBU TAKRIBANI MAGONJWA 28 NA 100% WALIPONA Tangawizi (kwa Kilatini zingiberis rhizoma; kwa Kiingereza: ginger) ni mzizi wa mtangawizi. Umbo la tangawizi ni kama lile la mzizi wa manjano na yote miwili hutumika kama viungo katika chakula. TANGAWIZI NI TIBA KUBWA IKITUMIWA VEMA Tangawizi huwa na utomvu wenye mafuta na kampaundi zinazofanya ukali wake. Utafiti wa kisasa umegundua tangawizi inaweza kusaidia katika matatizo ya utumbo na kuzuia kutapika Tangawizi inatazamiwa kupunguza maumivu ya viungo vilivyoathiriwa na rumatizimu na homa ya baridi yabisi (arthritis) KWENYE ELIMU YA KALE WALITUMIA TANGAWIZI KUJENGA AFYA Katika elimu ya tiba ya kale tangawizi ilitazamiwa kuwa na tabia nyingi za kujenga afya, lakini matokeo mengi yanayodaiwa mwilini hayajathibitishwa kisayansi: Imedaiwa kuwa na uwezo ufuatao wa kitiba: 1. kuondoa sumu mwilini Sumu ni dutu yoyote inayoweza kuharibu kiasi kidogo shughuli za seli au inayo...