Ruka hadi kwenye maudhui makuu

FANGASI YA MDOMONI na TIBA YAKE

Kuvu katika koo (candidiasis): sababu, matibabu


Mara nyingi vyakula tunavyokula huwa na faida mwilini lakini vingine huwa na madhara fulani ambayo sisi huwa hatuyajui hasa kama unashambuliwa na ugonjwa fulani.



Leo nimeona niliongelee hili kwenye safu hii maalum ya kukujuza jinsi ulavyo ndiyo matokeo ya baadaye.

Wapo wengi wanaosumbuliwa na suala la fangasi wa mdomoni lakini hawajui tiba wala sababu ya wao kupata ugonjwa huo.

Mara nyingi ugonjwa huu huwapata watoto wanaonyonya ingawa wao ni kawaida na mama huelezwa hospitali jinsi ya kufanya.

Ugonjwa huu ukitokea kwa wakubwa huwa si jambo la kawaida kwani husababisha mtu kujihisi vibaya kwa sababu wakati mwingine unaweza kujikuta ukinuka mdomo bila kujua tatizo na utando mweupe unaweza kukutoka, hii ni dalili kwamba umepata maambukizi.

Ni rahisi pia kuunguzwa na chakula hata kama hakikustahili kukuunguza kwa kiwango kikubwa, kwani ngozi ya ulimi inakuwa imeshashambuliwa na bakteria wa fangasi.

Vyakula vinavyosababisha fangasi:

Vyakula hivyo ni karanga, mayai, maziwa ya kawaida, maziwa mgando, yougurt ya baridi, vinywaji vyote nyenye kafeni kama vile kahawa, chai, chokoleti nk.

Vingine ni soseji nyama nyekundu, mayonnaise, salad, pia vyakula vyote vya baharini. Hivi ni vichache tunavyopendelea kula, kama wewe una tatizo la fangasi wa mdomoni nakusihi kuacha au kula kwa uchache vyakula hivyo wakati unatibu ugonjwa huu.

Vyakula tiba


Kitunguu saumu huzuia fangasi ukeni, kinywani - Mwananchi



Mdalasini ‘Cinnamon’:


UTAMU WA NDOA - MDALASINI, FAIDA NA TIBA ZAKE ZA ASILI... | Facebook


Hiki ni kiungo kinatajwa kutibu moja kwa moja ugonywa huu, kwani kina uwezo wa kupigana na bakteria wanaoshambulia na wanaosababisha fangasi.

Jinsi mdalasini unavyoweza kutibu kama unapendelea kunywa yougurt, chukua unga wa mdalasini changanya kwenye yougurt yako kisha kunywa, pia unaweza kutumia chai ya mdalasini mara kwa mara.

Kama huwezi kuchanganya kwenye chai unaweza kuulamba unga wake kwenye asali asubuhi na jioni.

Majani ya mzaituni:


Mzeituni - Wikipedia, kamusi elezo huru

Majani ya mzaituni ni tiba kabisa yenye uwezo wa kuondoa fangasi.

Jinsi yanavyotibu:

Pika chai kisha kiungo chako kiwe majani ya mzaituni, unaweza kuweka majani mawili mpaka matatu kwenye chai yako au ukipata majani ambayo yameshaandaliwa kama majani ya chai ni vizuri kwani yapo yanauzwa kwenye maduka makubwa ya vyakula. Kunywa chai kama tiba kwa siku mbili.

Mafuta ya nazi:


ZIJUE FAIDA KUMI ZA MAFUTA YA ZAITUNI - Tibazetu Afrika

Mafuta ya nazi ni mazuri kama tiba. Hakikisha kwenye kila mlo wako unachanganya kijiko kimoja cha chai kama unao uwezo wa kupata mafuta hayo unaweza kuyafanya tiba ukatumia mafuta ya nazi ya ndani ‘Virgin coconut’ vijiko vitatu kwa siku.




Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

VIAGRA YA ASILI

  Pata Kijiko zaidi katika malisho yako. MTINDO WA MAISHA Vyakula 10 ambavyo vinaweza kutenda kama Viagra asili Ikiwa unakuwa na shida chumbani, au unatafuta tu viungo, vyakula hivi hufanya kazi kama aphrodisiac na kuchukua nafasi ya hitaji la Viagra - ambayo, kwa matumaini, hautalazimika kutumia kwa muda .  Ongeza hizi wakati wa chakula cha jioni, na itahakikisha kuwa vitu vinakaa vya kupendeza ukimaliza dessert na bado unatamani kitu kitamu .. Hatukulaumu pia ikiwa unataka kula vyakula hivi kwa kuzimu tu, kwa sababu mara nyingi, chakula ni   bora zaidi kuliko ngono  . 1. Celery Picha na Herbalist Thobias Beda Celery inaweza kuonja kama maji na kuwa nyembamba sana, lakini ina arginine, ambayo  hupanua mishipa ya damu  kwa njia sawa na Viagra.  Pia ina steroids mbili ambazo husaidia kuboresha harufu ya mwili wetu, na kutufanya tuvutie wengine.  Chop mabua machache na uyatie kwenye  hummus hii  . 2. Tikiti maji Picha na Herbalist Tho...

YOU HAVE A BRIGHT FUTURE. IF YOU WILL GIVE YOUR EARTHLY LIFE TO JESUS

https://mbochiherbal.blogspot.com But if you contract HIV you need to think through what you need to change in your life and then set to work to rebuild your immune system

WATU WA KALE WALIAMINI TANGAWIZI NI TIBA ZAIDI MAANA ILITIUBU MARADHI 28

WATU WAKALE WALITUMIA ZAO LA TANGAWIZI KAMA TIBA KWA KUTIBU TAKRIBANI MAGONJWA 28 NA 100% WALIPONA Tangawizi (kwa Kilatini zingiberis rhizoma; kwa Kiingereza: ginger) ni mzizi wa mtangawizi. Umbo la tangawizi ni kama lile la mzizi wa manjano na yote miwili hutumika kama viungo katika chakula. TANGAWIZI NI TIBA KUBWA IKITUMIWA VEMA Tangawizi huwa na utomvu wenye mafuta na kampaundi zinazofanya ukali wake. Utafiti wa kisasa umegundua tangawizi inaweza kusaidia katika matatizo ya utumbo na kuzuia kutapika Tangawizi inatazamiwa kupunguza maumivu ya viungo vilivyoathiriwa na rumatizimu na homa ya baridi yabisi (arthritis) KWENYE ELIMU YA KALE WALITUMIA TANGAWIZI KUJENGA AFYA Katika elimu ya tiba ya kale tangawizi ilitazamiwa kuwa na tabia nyingi za kujenga afya, lakini matokeo mengi yanayodaiwa mwilini hayajathibitishwa kisayansi: Imedaiwa kuwa na uwezo ufuatao wa kitiba: 1. kuondoa sumu mwilini Sumu ni dutu yoyote inayoweza kuharibu kiasi kidogo shughuli za seli au inayo...