Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Machapisho

TIBA YA SHINIKIZO LA JUU LA DAMU

Shinikizo la juu la damu Shinikizo la juu la damu (HTN) au presha ya juu ya damu (pia huitwa shinikizo la mishipa ya damu , HBP), ni ugonjwa sugu ambapo nguvu ya msukumo wa damu katika mishipa ni kubwa kuliko kawaida. Ongezeko hilo husababisha moyo kufanya kazi kupita kiasi ili uzungushe damu katika mishipa ya damu. Kwa kawaida halina dalili, ila likidumu lina madhara makubwa kwa afya. Shinikizo la juu la damu ndilo sababu kubwa (kihatarishi) ya upoozaji, mshtuko wa moyo (mashambulizi ya moyo), moyo kushindwa kufanya kazi, kutuna kwa ukuta wa mishipa (k.m., kutuna kwa ukuta wa aota au mkole), chujio la mshipa wa kupeleka damu kwenye moyo au peripheral arterial disease, na inasababishwa na ugonjwa sugu wa figo. Hata ongezeko la wastani la shinikizo la damu hupunguza matarajio ya muda wa kuishi. Kuna vipimo viwili vya shinikizo la damu, yaani systolic na diastolic: shinikizo au presha ya systolic ni kipimo cha damu ambacho kinapima nguvu ya msukumo wa damu katika mish...

PAPAI BICHI UTIBU MARADHI SUGU 8 KATI YA 11

PAPAI NI NINI.? Papai ni tunda la mpapai ("Carica papaya"), mti wa familia Caricaceae. Una asili ya Amerika ya Kusini na ya Kati na unakuzwa huko Meksiko, karne kadhaa kabla ya kuibuka kwa tamaduni mpya za huko Amerika. Ni mti mrefu wenye shina la urefu wa mita 5 mpaka 10, wenye majani yaliyojipanga yaliyojizungusha na kujishikiza juu kwenye shina la mti, shina kwa upande wa chini huwa na makovu mengi kuonesha sehemu ambayo majani yalikuwa. Majani ya mpapai ni makubwa sm 50 – 70 kwa upana, maua yake ni madogo na hutokea sehemu yalipochomoza majani, hutengeneza tunda papai lenye urefu wa sm 15- 45, na upana wa sm 10 – 30. Tunda huiva pale linapokuwa laini (kama vile parachichi au zaidi) na ngozi yake inapokuwa na ngozi yake inapokaribia rangi ya chungwa ladha ya chungwa hukamilana na ile kati ya nanasi na peasi, ingawa huwa ya utulivu bila ya uchungu wowote. PAPAI LINATIBU MAGONGWA SUGU 8 KATI YA 11 MALARIA SUGU FIGO KUATHIRIWA KWA INI KULINDA KIN...

AINA 18 ZA MMEA WA KIVUMBASI NA FAIDA KWA MLAJI

AINA 18 ZA MMEA WA KIVUMBASI DUNIANI ZINAZO TAMBULIKA MPAKA SASA MMEA Aina ya kivumbasi [BASIL] Ocimum basilicum Basil / Scientific names Basil, ( Ocimum basilicum ) , also called sweet basil , annual herb of the mint family (Lamiaceae), grown for its aromatic leaves. MMEA HUU UNATIBU MARADHI 10 KWA HUAKIKA KABISA Anti-inflammatory Antioxidant Cancer-fighter Pain-reducer (analgesic) Fever-reducer (antipyretic) Diabetes -preventer Liver-protector (hepatoprotective) Blood vessel-protector Anti-stress solution Immune-booster 1.sweet basil   1.Sweet Basil . ... 2.Genovese Basil . ... 3.Thai Basil . ... 4.Napoletano Basil . ... 5.Dark Opal Basil . ... 6.Christmas Basil . ... 7.Lemon Basil . ...    8.1Lettuce Leaf Basil .   9.Lime Basil 10.cinnamon basil  111. holy basil 12. cardinal basil 13. Green basil 14. Greek basi 15. Pistous basil 16. Spicy saber {serrata} 17. African...