Ruka hadi kwenye maudhui makuu

PAPAI BICHI UTIBU MARADHI SUGU 8 KATI YA 11






PAPAI NI NINI.?

DAWA ASilia - TUMIA PAPAI BICHI KUKABILI MINYOO Tatizo la ...



Papai ni tunda la mpapai ("Carica papaya"), mti wa familia Caricaceae. Una asili ya Amerika ya Kusini na ya Kati na unakuzwa huko Meksiko, karne kadhaa kabla ya kuibuka kwa tamaduni mpya za huko Amerika.
Ni mti mrefu wenye shina la urefu wa mita 5 mpaka 10, wenye majani yaliyojipanga yaliyojizungusha na kujishikiza juu kwenye shina la mti, shina kwa upande wa chini huwa na makovu mengi kuonesha sehemu ambayo majani yalikuwa. Majani ya mpapai ni makubwa sm 50 – 70 kwa upana, maua yake ni madogo na hutokea sehemu yalipochomoza majani, hutengeneza tunda papai lenye urefu wa sm 15- 45, na upana wa sm 10 – 30.
Tunda huiva pale linapokuwa laini (kama vile parachichi au zaidi) na ngozi yake inapokuwa na ngozi yake inapokaribia rangi ya chungwa ladha ya chungwa hukamilana na ile kati ya nanasi na peasi, ingawa huwa ya utulivu bila ya uchungu wowote.



PAPAI LINATIBU MAGONGWA SUGU 8 KATI YA 11

  • MALARIA SUGU
  • FIGO
  • KUATHIRIWA KWA INI
  • KULINDA KINGA MWILI
  • KUPANDISHA KINGA MWILI
  •  UIMARISHA NURU YA MACHO KUONA TENA
  • MARADHI YA MOYO 
  • PREVENTS CANCER 
  • UTIBU MIWASHO SEHEMU ZA SIRI
  • UTIBU TATIZO LA KUSHUKA KWA KIZAZ I/ MIRIJA YA UZAZI
  • UIMARISHA NGOZI YA MWILI 


FAIDA KUBWA YA PAPAI BICHI & MATUMIZI



Kutoka asili yake ya Meksiko, Puerto Rico, Amerika ya Kati na kusini mwa Asia.
Papai lililoiva huliwa bila ya maganda wala mbegu zake; papai bichi huliwa baada ya kuchemshwa na kupimwa pamoja na saladi ya michemsho mingine.
Papai bichi na mti wake huwa na utomvu wenye kemikali inayoitwa papaini ambayo hutumika kulainisha nyama kwa kuvunjavunja protini iliyo ndani yake. Uwezo wake huu wa kulainisha nyama ngumu umetumiwa na watu wa kale tangu enzi za zamani.
Tafiti mbalimbali zimeonesha kwamba mbegu za papai ni muhimu kwa afya ya binadamu kuliko papai lenyewe; zinaweza kutibu matatizo ya ini, figo, malaria, baadhi ya minyoo na hupunguza unene uliopitiliza.
Wanawake huko Uhindi, Pakistani na Sri Lanka walitumia sana papai kama njia ya kuzuia mimba na hata kutoa mimba wanawake waliokuwa utumwani ai pia walionekana sana wakitumia sana papai ili kuzuia wasishike mimba na kuwazaa watoto wao utumwani imegundulika hata mbegu za papai nazo huweza kusababisha kuondoa uwezo wa kuzaa kwa wanaume.
Shina na matawi ya mipapai pia yanatumika kutengenezea kamba. Mbegu zaidi za mipapai huweza kuliwa na zina ladha kali sana. Husagwa na wakati mwingine kutumiwa kama mbadala wa pilipili. Sehemu fulani za Asia, majani machanga ya mpapai huchemshwa kwa mvuke na kuliwa kama spinachi. Sehemu fulani duniani majani ya mpapai hunyweshwa na chai kama dawa ya kutibu malaria, japo hakuna ushahidi wa kutosha juu ya matibabu haya.







DAWA ASilia - PAPAI BICHI NI DAWA YA VIDONDA VYA TUMBO... | Facebook




www.mbochiherbalife.co.tz
mbochiherballife646@gmail.com
hotline +255757349219                                                                                                  
                                                               
                                                            " WE TREAT BUT GOD CURE"

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

YOU HAVE A BRIGHT FUTURE. IF YOU WILL GIVE YOUR EARTHLY LIFE TO JESUS

https://mbochiherbal.blogspot.com But if you contract HIV you need to think through what you need to change in your life and then set to work to rebuild your immune system

WATU WA KALE WALIAMINI TANGAWIZI NI TIBA ZAIDI MAANA ILITIUBU MARADHI 28

WATU WAKALE WALITUMIA ZAO LA TANGAWIZI KAMA TIBA KWA KUTIBU TAKRIBANI MAGONJWA 28 NA 100% WALIPONA Tangawizi (kwa Kilatini zingiberis rhizoma; kwa Kiingereza: ginger) ni mzizi wa mtangawizi. Umbo la tangawizi ni kama lile la mzizi wa manjano na yote miwili hutumika kama viungo katika chakula. TANGAWIZI NI TIBA KUBWA IKITUMIWA VEMA Tangawizi huwa na utomvu wenye mafuta na kampaundi zinazofanya ukali wake. Utafiti wa kisasa umegundua tangawizi inaweza kusaidia katika matatizo ya utumbo na kuzuia kutapika Tangawizi inatazamiwa kupunguza maumivu ya viungo vilivyoathiriwa na rumatizimu na homa ya baridi yabisi (arthritis) KWENYE ELIMU YA KALE WALITUMIA TANGAWIZI KUJENGA AFYA Katika elimu ya tiba ya kale tangawizi ilitazamiwa kuwa na tabia nyingi za kujenga afya, lakini matokeo mengi yanayodaiwa mwilini hayajathibitishwa kisayansi: Imedaiwa kuwa na uwezo ufuatao wa kitiba: 1. kuondoa sumu mwilini Sumu ni dutu yoyote inayoweza kuharibu kiasi kidogo shughuli za seli au inayo...

TIBA YA SHINIKIZO LA JUU LA DAMU

Shinikizo la juu la damu Shinikizo la juu la damu (HTN) au presha ya juu ya damu (pia huitwa shinikizo la mishipa ya damu , HBP), ni ugonjwa sugu ambapo nguvu ya msukumo wa damu katika mishipa ni kubwa kuliko kawaida. Ongezeko hilo husababisha moyo kufanya kazi kupita kiasi ili uzungushe damu katika mishipa ya damu. Kwa kawaida halina dalili, ila likidumu lina madhara makubwa kwa afya. Shinikizo la juu la damu ndilo sababu kubwa (kihatarishi) ya upoozaji, mshtuko wa moyo (mashambulizi ya moyo), moyo kushindwa kufanya kazi, kutuna kwa ukuta wa mishipa (k.m., kutuna kwa ukuta wa aota au mkole), chujio la mshipa wa kupeleka damu kwenye moyo au peripheral arterial disease, na inasababishwa na ugonjwa sugu wa figo. Hata ongezeko la wastani la shinikizo la damu hupunguza matarajio ya muda wa kuishi. Kuna vipimo viwili vya shinikizo la damu, yaani systolic na diastolic: shinikizo au presha ya systolic ni kipimo cha damu ambacho kinapima nguvu ya msukumo wa damu katika mish...