UGONJWA WA MAPAFU {SELICOSIS} NAMNA ULIVYO WA HATARI DUNIANI NA UNA MALIZA WATU WA WINGI
ugonjwa huu wa selicosis kikawaida huwa unaenea kwa mda mrefu kwa miaka 10-20 kwa makadirio ingawa makadirio rasmi ni miaka 5-10 ya kufichuliwa kwa ugonjwa huu wa selicosis,kwa kila mchimbaji huwa ushambuliwa kwa mda tu pindi waanzapo kazi kwa miezi michache tu ya sumu zipulizwazo migodini pia miamba inayopasuliwa,hii uwa aimfanyi mtu kugundua mapema kuwa ana tatizo ila mapema tu anapo kuwa nje ya kazi ndipo tatizo huanza kugundulika kuwa tatizo limesha shambulia ndani kwa mda mrefu
na hii wengi uanza kuisi MAUMIVU kwenye KIFUA,UPUMUAJI,KUTAPIKA DAMU pia kuisi uchovua na mara kadha wafanyapo vipimo uonekana kuwa ni Typhoid hivyo inashauriwa mapema kucheki AFYA/vipimo mara kwa mara
SELICOSIS NI NINI.
SELICOSIS NI UGONJWA wa mapafu wa ndani unaosababishwa na kupumua kwa vipande vidogo vya silika,madini ya kawaida yanayo patikana katika aina nyingi za miamba na udongo,baada ya muda, yatokanayo na chembe za silika husababisha kudorora kwa mapafu kwa muda mrefu, inayoitwa pulmonary fibrosisi
NI ZIPI DALILI ZA UGONJWA WA MAPAFU WA SELICOSIS
- KIKOHOZI
- HOMA
- KUPOTEZA HAMU YA KULA
- MAUMIVU KATIKA KIFUA
- KUPOTEZA UZITO
- UPUNGUFU WA PUMZI
- UDHAIFU WA MWILI
- JASHO WAKATI WA USIKU
NI WATU WA NAMNA GANI UPATWA NA SELICOSIS
- Wachimba mawe
- wanaopasua kokoto
- wachimba madini migodini
- wanaochekecha aina za michanga
- wanao chonga miamba
- wanaopiga mabomu migodini/kutumia aina za sumu
watafiti wengi duniani wanao fanya tafiti za tiba/maradhi wengi usema kuwa akuna tiba katika hili,na apa kumekuwa na mkanganyiko juu ya masuala aya ya tiba.kwani wako wasemao tiba ipo na wengine usema akauna tiba
#MBOCHIHERBALLIFE {HERBAL MEDICINE}
tumefanya tafiti yenye uhakika namna ya kutibu na kufungua mapafu na kuwafanya watu waliopatwa na maradhi ya Silika {SILICOSIS} kupata tiba na kuwa na nafuu katika suala hili linalo watesa watu wengi sana,mbochi tunna tumia tiba za asili kwa kila maradhi sugu kutibu na dawa lishe,karibu tukupe ushauri pia tiba
IPO TIBA 88% KWA WALIOATHIRIKA NA TATIZO LA MAPAFU {SELICOSIS}
#MBOCHIHERBALLIFE
HERBA MEDICINE Email; mbochiherballife646@gmail.com
Website;mbochiherbalife.co.tz
DAR ES SLAAM
Mob; +255757349219/0685217438
Maoni