Mara nyingi wanaume wengi wamekuwa katika mifumo tofauti ya ukuaji wao hasa katika maandalizi ya kuingia katika suala la mahusiano. hii hupelekea wanaume wengi kuingia katika suala la kujichua ambalo ndilo tatizo kubwa la upungufu wa nguvu za kiume ingawa si asilimia kubwa kwa uthibitisho kutoka kwa wanasayansi wote duniani.
MBOCHI HERBAL LIFE
dar es salaam,mbande
mbochiherballife646@gmail.com
+255757349219/0685217438
Dawa ya fimbo ya Ujana
Mpaka kufikia sasa hakuna jawabu sahihi la kuhusiana na kujichua kuwa kuna punguza nguvu za kiume kwa asilimia kubwa kutokana na mkanganyiko wa wanasayansi Duniani. Lakini kwa matokeo ya wanaume wengi wanaolalamika kutofika kileleni kwa kijihisi maumivu katikati ya tendo au kupoteza hamu ya kuendelea na tendo wakati wa tendo inajihidhirisha wazi kuwa kujichua kunapunguza nguvu za kiume.
NI JAMBO GANI UNATAKIWWA KUFANYA ENDAPO UTAHISI DALILI HIZI
- KUTOKUWA NA HAMU YA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA
Dalili za kuonesha kuwa una tatizo la
upungufu wa nguvu za kiume karibia zote zinahusiana na hali itakayo
onekana katika tendo la ndoa au mda wa kujamiiana, hizo dalili zake ni
kama;

- Kuwahi kufika kileleni
- Kukosa hamu ya mapenzi
- Kushindwa kurudia tendo la ndoa
- Uume kusimama kwa ulegevu au kushindwa kusimamisha
- Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa na hata kukinai kabisa au hata kusikia kichefuchefu; Miguu, uso na tumbo kuvimba na kujaa maji
- Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo hilo
- Kuchelewa sana kufika kileleni (au kushindwa kufika kileleni kabisa)
- Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika utendaji
JINSI YA KUEPUKANA NA KUPATA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME
- Fanya mazoezi – Angalau dakika 30 kwa siku
- Kula vyakula asilia na usile vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi
- Tibu magonjwa yako yanayokuweka hatarini kama kisukari, moyo, punguza unene na mengine
- Punguza (balansi) kiwango cha halemu (choresterol) au mafuta yaliyozidi
- Balansi uzito wako
- Usivute sigara
- Punguza au acha kunywa pombe
- Punguza mawazo
- Kula vizuri vyakula bora hasa asilia na sio vyakula vyenye kemikali
- Lala vizuri kwa muda mzuri – masaa 7 hadi 9
- Usitumie dawa zenye kemikali nyingi huathiri mfumo wa uzazi
- Kunywa maji ya kutosha
TIBA YA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Hili ni tatizo ambalo huwanyima raha watu
wengi kwasababu linaashiria upungufu flani wa kimwili, tunawashauri watu
wengi wafanye mazoezi, kula chakula bora hasa asilia na pia wanywe maji
mengi ili kuimarisha afya zao. Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume
linaondolewa japo ni kwa mda mrefu kidogo, wengi hudanganywa na kupewa
dawa za kuongeza nguvu pale unapoenda kujamiiana na sio dawa ya kutibu.
Tuna dawa ya kutibu tatizo la upungufu wa
nguvu za kiume ambayo ni ya asili{ FIMBO YA UJANA} isiyo na kemikali ambayo hufanya mtu
kupona na kuimarika kabisa. Dawa hiyo hutibu kwa mda kulingana na
ukubwa wa tatizo, ukianza kutumia baada ya wiki mbili huonesha
mabadiliko, pia mgonjwa anapewa mfumo wa maisha ambao inatakiwa utumie
kwasababu kuna mtindo wa maisha unaendekea kuongeza tatizo pia kuna
mtindo unapunguza hatari ya ugonjwa.
Tunamshukru Mungu kwa uumbaji wake na
kutupa dawa ambazo alizileta ili kutuimarisha na kutuponya, Mungu
hakuumba dawa nyingine zaidi ya mimea na vitu vingine vya asili, japo
wengi hudharau mno mimea
MBOCHI HERBAL LIFE
dar es salaam,mbande
mbochiherballife646@gmail.com
+255757349219/0685217438

Maoni