Hii ni aina mojawapo ya kiasili kilichoundwa kwa protini na mafuta (yaani glycoprotein) ambacho kinapatikana juu ya uso wa seli nyeupe za damu zijulikanazo kama Thelper Cells, Regulatory T-Cells, Monocytes, Macrophages na Dendritic Cells ambazo kazi yake kubwa ni kupambana na maradhi mbalimbali.
Zimepewa jina la CD4 kuonesha kuwa ni aina ya nne katika kundi la viasili vya CD. Kazi zake kubwa ni kusaidia baadhi ya chembe nyeupe za damu kupambana na wadudu waenezao maradhi mbambali katika mwili wa binadamu.
CD4 husaidia kukuza na kupitisha taarifa kutoka kwenye vipokeo vilivyopo kwenye T-Cells. Taarifa hii huzitahadharisha chembechembe nyeupe za damu kujiandaa kupambana na vidudu vilivyovamia mwili kwa kutumia njia mbalimbali. Aina hii ya chembechembe nyeupe za damu inayopambana na uvamizi wa mwili huitwa T-Lymphocytes.
CD4 ni aina ya protini inayopatikana
katika ukuta wa seli zinazojulikana kama T-Helper Cells (pia hujulikana
kama CD + Lymphocyte).
Virusi vya Ukimwi (VVU) hushambulia na kujishikiza kwenye protini hii kabla ya kupata uwezo wa kuathiri seli za T-Helper.
Seli hizi za T-Helper ndizo hulinda mwili dhidi ya maambukizi mbalimbali na hivyo kuchangia katika kustawi kwa kinga ya mwili.
Kupungua kwa seli hizi mwilini husababisha kupungua kwa kinga ya mwili na hivyo mtu kupata magonjwa nyemelezi.
Baadhi ya magonjwa nyemelezi yanayoweza kumpata mtu mwenye ugonjwa (VVU/Ukimwi) ni pamoja na magonjwa ya mfumo wa kupumua kama vile ugonjwa wa Homa ya Mapafu (Pneumocyctic Carinii Pneumonia), Kifua Kikuu (TB) na Saratani.
Mengine ni magonjwa ya mfumo wa chakula kama vile Cryptosporidiosis, Candida (fangasi), Cytomegolavirus na kadhalika.
Lakini pia mgonjwa akipungukiwa CD4
huweza kupata magonjwa ya mfumo wa fahamu yaani Central/Peripheral
Nervous System kama vile Cytomegolavirus, Toxoplasmosis, Cryptococcosis,
Mkanda wa Jeshi na Saratani.
Mengine ni magonjwa mbalimbali ya ngozi (Skin Diseases) hasa Saratani ya Ngozi.
VIPIMO VIFANYIKAVYO
Kutokana na uhaba wa vifaa vya kupimia kiwango cha seli aina ya CD4
katika nchi mbalimbali, Shirika la Afya Duniani (WHO), limetengeza
mwongozo mwingine ambao utamsaidia mhudumu wa afya kutambua kama mgonjwa
amefikia hatua ya ugonjwa wa Ukimwi na anastahili kuanza tiba au la.
Itaendelea wiki ijayo.
JE KUNA DAWA ZA ASILI ZENYE KUPANDISHA CD4 MOJA KWA MOJA
Jibu ni ndiyo ipo dawa yenye 99% kwa kuipandisha CD4 cells na mwili ukawa sawa na ikamfanya muathirika kuepukana na maradhi nyemelezi yote
DAWA
1.Mlonge VJK 5
2.Giligilani
3.Kabeji 1/3
4.Maharagwe ya kkijani 1/3
5.Hoho ya njano 3
6.Uwatu VJK 5
7.Habati soda VJK 5
8.Mjafali VJK 5
9.Mbegu ya para chichi 3
MAANDALIZI SAHII YA HUO MCHANGANYIKO APO JUU
Akikisha unapo kusanya dawa zako hapo kwa pamoja na kabla ya kuziandaa kama zitakuwa kwenye mfumo wa powder na mboga mboga basi miongoni kwa hizo mboga mboga osha na kusaga kwa maji moja,kisha saga mboga mboga hizo kama juisi na baada ya hapo utaweka dawa zako kwa vipimo kama ilivyo hapo
MATUMIZI YA DAWA
dawa hii niya siku 15 tu ijapo kuwa waweza tumia ata mwezi mmoja
tumia glasi 1 kwa asubui kabla ya kula na glasi ya pili 2 jioni kabla ya kula
NB;
Mmbo muimu ya kuzingatia ni ulaji wa nyama nyekundu
pia ulaji wa pilipili nk.
kwa ushauri juu ya afya yako na katika maradhi aya namna ya kuwa na afya njema wasiliana nasi kwa
barua pepe;
mbochiherballife646@gmail.com
Mob; 0757349219
WE TREAT BUT GOD CURE
pia mchanganyiko wa mboga mboga na matunda uimarisha mwili vema
ZINGATIA YAKO AFYA......
Maoni