Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Machapisho

SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI

SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI TAKWIMU ZINASEMA HIVI ; Saratani ya shingo ya kizazi ni saratani inayoongoza kwa kusababisha vifo vya wanawake wengi duniani. Inakadiriwa kuwa asilimia 85 ya vifo hivi hutokea katika nchi zinazoendelea. Kwa Tanzania, wastani wa wanawake 6,241 huugua saratani hii kila mwaka, ambapo 4,355 kati yao hufa, hii ni kwa mujibu wa ripoti ya shirika la afya duniani (W.H.O) ya mwaka 2010 Saratani ya shingo ya kizazi ndio saratani ya kwanza kwa wanawake nchini Tanzania, na Saratani namba moja kwa wanawake walio kati ya umri wa miaka 15 hadi 44. Tanzania ina wanawake milioni 10.97 walio na umri wa miaka 15 na kuendelea, ambao wako kwenye hatari kubwa ya kupata saratani hii. Kwa afrika mashariki, asilimia 33.6 ya wanawake wote, wanasadikiwa kuwa na virusi aina ya human papilloma virus ambavyo ndio visababishi vya ugonjwa huu. Je nini kinasababisha saratani ya shingo ya kizazi? Maambukizi ya human papilloma virus ndio yanayosababisha saratani ya shingo ya ...

BAWASIRI NI NINI? JE ZAKE DALILI & TIBA YAKE NI IPI

BAWASIRI NI NINI? DALILI ZAKE NI ZIPI,JE INATIBIKA KWA TIBA ASILIA BAWASIRI ni ugonjwa unaojitokeza katika njia ya haja kubwa, hujitokeza kama uvimbe au kijinyama ambacho huweza kuonekana hadi nje. Kwa Kiingereza ugonjwa huu huitwa Haemorrhoids au piles. Bawasiri inaweza kusababisha upungufu wa damu mwilini lakini unaweza kutibiwa kwa njia ya upasuaji au kwa kutumia dawa mbadala kwa kipindi cha kuanzia  wiki sita na kuendelea, inategemea imejijenga kiasi gani. Bawasiri husababishwa na nini? Hakuna sababu ya moja kwa moja inayojulikana kisayansi kwamba ndiyo husababisha bawasiri, bali mambo yafuatayo yanaweza kukufanya ukapata ugonjwa huu: Kufunga choo au kupata choo kigumu kwa muda mrefu Ujauzito; wakati wa ujauzito watu wengine wanaweza kupatwa na bawasiri sababu ya msukumo wa mtoto karibu na sehemu ya kutolea haja kubwa. Kushiriki mapenzi kinyume na maumbile Uzee; kadri miaka inavyosogea ndivyo inavyokuwa rahisi kwako kupatwa na ugonjwa huu kwa ba...